SHERIA2
Don't miss

Sunday, July 7, 2013

SHERIA YA NDOA, MIRATHI, WOSIA,WATOTO WA KAMBO N.K ALFU 15,000/= TU.


By on 3:00 PM





MIAKA minne(4) iliyopita nilitembelea maeneo ya vijijini sana. kuna watoto wanapata tabu sana, wengi wao wanateseka kwasababu wazazi wao hasa akina baba wamewatelekeza, mama anawalea peke yao. pia kutengena kwa wazazi kunahatarisha ustawi bora wa watoto. Mungu anakataa kuachana kwa wanandoa, bora kusameheana kuliko kutengana na kuharibu maisha/maslahi ya watoto wenu. ukisoma kitabu hicho hapo juu utapata kila kitu kuhusu watoto wa kambo, haki kati ya mke na mme katika ndoa, kugawa mirathi kisheria, haki ya mjane kisheria na mambo mengine mengi yanayofanana na hayo. kitabu hiki kinapatikana Tanzania nzima, kwa mawasiliano piga 0767 154141. karibuni sana.

About Syed Faizan Ali

Faizan is a 17 year old young guy who is blessed with the art of Blogging,He love to Blog day in and day out,He is a Website Designer and a Certified Graphics Designer.

0 comments:

Post a Comment