SHERIA2
Don't miss

Sunday, July 7, 2013

HAKI KATI YA MME NA MKE KATIKA NDOA


By on 3:03 PM

KUJUA haki kati ya mme na mke, haki ya mjane katika mirathi, wajibu wa baba wa nyumba, wosia sahihi kisheria, ugawaji mirathi kisheria, haki kwa mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa/mtoto wa kambo, na mambo mengi yanayofanana na hayo tafuta kitabu hicho hapo juu. kinapatikana bookshop karibia zote Tanzania, utakikutak ama kilivyo hapo kwenye picha. kwa mawasiliano piga 0767 154141. karibuni sana.

About Syed Faizan Ali

Faizan is a 17 year old young guy who is blessed with the art of Blogging,He love to Blog day in and day out,He is a Website Designer and a Certified Graphics Designer.

1 comments:

  1. Ilishapendekezwa kwamba, sheria za Tanzania ziandikwe kwa lugha zote mbili, kiswahili na kiingereza. hii ingesaidia watu wasiokuwa wanasheria kufahamu walau haki za msingi hata kama kwa uchache, kwani lugha ya Kiingereza imekuwa kikwazo kwa wengi kusoma vitabu vya sheria. nafasi ya uelewa wamepewa wanasheria tu (waliosoma shahad aya sheria chuo kikuu) ambao wanasoma na kujua kiingereza. kitabu hiki hapa juu kimefafanua baadhi ya sheria zinazosumbua sana watu wa kawaida, na kimeandikwa kwa lugha nyepesi kumsaidia yule asiye mwanasheria kuelewa kwa urahisi. tuwasiliane kwa 0767 154141

    ReplyDelete